CCMAGEREZANAthibitisha Kwamba kelele nyingi dhidi ya serikali ni kukosa hoja. Sasa wapinzani hawana wagombea, uzi kama huu umekosa kelele za aina hiyo.
Hapa unamaanisha hawa watu hawana wagombea, wanavizia watakaokatwa CCM. Maana ndicho walichofanya 2015.Mkuu usiwe na haraka kila chama kina utaratibu wake. Kama sasahivi unawaona CCM tu Basi jua Utaratibu wao wa kujulikana wagombea ushaanza na Kama huwaoni vyama vingine Basi jua Utaratibu wao haujaanza Ila ukishaanza nao utawaona pia.
Kumbuka hata 2015 Mpaka unamalizika mchakato wa kumpata mgombea urais CCM, UKAWA walikuwa bado Ila mwisho wa siku Walikamilisha utaratibu wakamusimamisha mgombea wao.
Ha ha.. Mfa maji haachi kutapatapaSio ccm, sema chama cha kijeshi. Chini ya awamu hii hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Kamuambie hayo maneno mwamba a.k.a DJ kama hajakulapua makofi au kukupiga na chupa ya faru John. Yaani wenzio wanapanga mikakati ya namna gani watapata ruzuku, wewe unahamasisha watu wasipige kura. Msipopiga kura atapata wapi ruzuku? Wabunge wa Viti Maalum (vipoozeo) watapatikana vp?Anasoma gazeti la uhuru na magazeti ya serikali, lakini hana chanzo chochote huru cha habari. Lazima hitimisho lake liwe kwenye kile anacholishwa.
Kwa maneno marahisi yuko ndani ya box. Hata hivyo sisi wapiga kura tunaojitambua tunahitaji tume huru ya uchaguzi, kuliko hilo zoezi chini ya tume isiyo huru ya uchaguzi.
Kamuambie hayo maneno mwamba a.k.a DJ kama hajakulapua makofi au kukupiga na chupa ya faru John. Yaani wenzio wanapanga mikakati ya namna gani watapata ruzuku, wewe unahamasisha watu wasipige kura. Msipopiga kura atapata wapi ruzuku? Wabunge wa Viti Maalum (vipoozeo) watapatikana vp?
CCM kila kona kupokea na kutoa rushwa?Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?
Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Utahangaikaje kugombea chama kingine na huku ukijua kuwa unasimamiwa na tume ya uchaguzi ya chama tawala? Utakuwa uenda wazimu kufanya hivyo. Utapoteza nguvu na pesa yako bure.Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?
Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Nyerere aliona mbali. Aliona WaTanzania wa leo.
unategemea vipi uone wagombea wa upinzani kama kila siku wewe ni kusoma vijigazeti vya Uhuru, Tanzanite, Jamvi, nk? au kutazama TBC, Clouds, Channel 10, nk?Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?
Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Dj? Atakula jeuri yake!Huyo DJ atakula jeuri yake. Tukisema tunajitambua ujue tuna uhakika na tusemacho.
Hizo sentesi mbili ulizoziandika ni ukweli halisi na uhalisia. Wagombea wengi lazima wajikombe kwa chama tawala ili kujilinda. Angalia mamia ya wasomi walivyojikimbiza chama tawala. Hii ni ishara kwamba hata wale tuliowatuma na kuwaamini wakatuletee maarifa wote wamelalia chama tawala na hakuna anayemfikiria mwananchi wa chiniJe, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Wewe unawaita wenzio wapuuzi na wajinga halafu unalalamika hawakupendi, unahisi kuna faida yoyote wewe kupendwa na mpuuzi mjinga?
Mkuu pole kwa hasira ila siasa ni kazi na kila mwanasiasa anajaribu kufanya kazi ili aongoze dola. Siasa haihitaji chuki wala matusi
Ningemanisha ningesema Mimi Ila kwavile umesema wewe, Basi jua simanishi.Hapa unamaanisha hawa watu hawana wagombea, wanavizia watakaokatwa CCM. Maana ndicho walichofanya 2015.
Huko kwenu tunasikia tu mivumo ya rushwa za watoa na wapokea!Ni kama wamemwagiwa maji
Siasa ya vyama vingi imenyongwa ili kuwanyina raia haki ya kuamua ili kukipa cha tawala na viongozi wake uwezo wa kuwamulia wananchi bila hofu. Wananchi wamegeuzwa misukule ya watawala. Ukiambiwa jumapili ni pilau na jumatatu mihogo mwananchi useme sawa kwasababu viongozi wanamaono. Ujinga wa kiwango cha lami. Haijawahi kutokea binadamu akapata maendeleo kwa staili hii kokote kule. Ukisikia udikiteta ndio huu.Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?
Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?