kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,859
- 3,464
- Thread starter
- #21
Kutofika kileleni,sio ugonjwa.Habari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante studio....
Humdinyi sawasawa ukioa huyo utagongewa tu,nipe namba yake nimshauri kituHabari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Sent using Jamii Forums mobile app
Clit ndio nini?Anafika kwa kuchelewa Sana
& Hana hisia sehem nyingine zaidi ya clit
Sent using Jamii Forums mobile app
Clitous chota chamaClit ndio nini?
Acha uzinzi mkuuHabari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi kaanza akiwa form 1Dogo na mchumba wako mna umri gani? Kama alianza mapenzi darasa la nne huyo kumfikisha itakuwa ni ngumu.
Na uzuri amekuchana kuwa huwezi kazi kulinganisha na ma-ex zake.
Tatizo lilianzia hapo achana utakuja kunishukuruMapenzi kaanza akiwa form 1
Hiyo juhudi unayoweka kutaka kumfikisha kileleni ni bora uitumie kutafuta pesa. Wee Mbandue tu ukiridhika wewe inatosha kila mtu ashinde mechi zakeHabari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka muda huu.
Tumedumu kwenye uchumba kwa miaka miwili Sasa.
Tatizo kubwa lililofanya nije hapa Ni kuwa
Mchumba wangu ana tatizo la kutokufika kileleni mapema tunapokua safarini
Naweza kutumia lisaa lizima Bila yeye kufika.
Nimetumia kila njia, mbinu zote mpaka ushauri wa madaktari ila hakuna mabadiriko yoyote.
Kuna muda huwa ananilaum kwa Nini simfikishi huku akiniambia hajawahi kufikishwa na mwanaume yoyote ( naifaham kidogo historia ya mahusiano yake).
Nampenda Sana mchumba wangu ila nikifikiria kuhusu faragha napata wasiwasi kuingia nae kwenye ndoa.
Wenye uzoefu na maswala ya ndoa mnishauri kijana wenu.
N:B hajapita kwa ngariba( clit ipo).
Sent using Jamii Forums mobile app