Arusha to Kigoma ama?KIAZI KITAMU- hiki kitu kinakunywa madumu ya maji njia nzima na hakiivi. Pambaaaf sana
Xiamen Golden Deagon. 😁Ally's, Dar-MwanzaBasi zuri sio yutong Wala marcopolo,sijui Subaru Ile khaaaa ......Dereva kijana wa kiarabu anakula majani Kama mbuzi ,,hakuna Sala niliacha kuomba hiyo siku
Kiazi Kitamu Hicho Ama Coastal LineArusha to Kigoma ama?
Abood Mwanza to Morogoro gari imetuishia. mafuta. Njiani *****Bus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Nyehunge anazo nzuri tuUkipanda basi lenye siti 3by2 jua umeingia cha kike.
Niliwahi kupanda hii chombo gia zikawa haziingii dar to bukobaPrincess Muro
Hao hatari tupuCity Boy...Kahama - Dar basi lile linakimbia Afrika nzima...
Al Hushoom from Dom to Morogoro unaweza ukakaa kwenye bus 12hrsBus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Dragon huwa za moto sana hizoXiamen Golden Deagon.