DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,447
- 99,040
Sijawahi kuona umecomment comment ndefu namna Hii, Ila umeongea UKWELI mtupu.Mwanaume Mwerevu ukizaa naye hata mkiachana kamwe hawezi kukuchukia, atakusaidia wewe na mwanao, atavumilia na kukuelewa mapungufu yako ya hasira na chuki. Hatajali hivyo kwani anakuelewa, atakusaidia iwe Kwa ukali au Kwa upole lakini atakusaidia wewe na mwanao.
Lakini mwanaume asiyejielewa atakuchukulia wewe Kama Mkubwa mwenzake, atakuwa mtu wa kukulaumu na kukukaripia Kwa sababu hajui saikolojia ya wanawake ilivyo.
Mwanaume Mwerevu kamwe hawezi kukusamehe siku utakayomsaliti na kutoka na Mwanaume mwingine.
Lakini mwanaume asiyejielewa anaweza kukusamehe kutokana na kutokujiamini kwake, na ujinga wa kutokujua kufanya maamuzi sahihi.
Binti yangu, ukiona mwanaume amekufumania na akakusamehe jua huyo hakupendi, na hajielewi, yupo kwako Kwa sababu zingine lakini sio Upendo,
Kongole Sana mkuu Smart911