nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 643
- 500
Kauli hii iliwahi kusemwa na dr regnard mengi,...sikuelewa kwann aliwaza hicho kitu,kwani alihisi atakuja kufanya mambo yatakayochafua jina lake...waheshimiwa wana JF nisaidie uelewa wenu katika hili,use ur brain!...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums