mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 923
- 1,272
Kijana Bashite Daudi kwa heshima ya mkuu wa kaya kasoma alama za nyakati . Kaamua kusepa mapema. Hasira za bunge la bajeti mwezi ujao zingeishia kwake, kwani suala la uhakiki wa vyeti lingeonyesha kuwa na double standard.
Ishu ilikua ndogo tu, kuweka vyeti mezani mambo yanaisha. Naye Sizonje anamshauri vibaya. Eti Bashite akimbie upepo upoe. Huu upepo si wa kupoa leo wala kesho labda ahame nchi au abakie raia kama mimi au akanyee debe.
Ishu ilikua ndogo tu, kuweka vyeti mezani mambo yanaisha. Naye Sizonje anamshauri vibaya. Eti Bashite akimbie upepo upoe. Huu upepo si wa kupoa leo wala kesho labda ahame nchi au abakie raia kama mimi au akanyee debe.