Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.

Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.

maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi

wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??

ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko

This Time Tomorrow
 
Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe....kabichi rafiki mkubwa kwangu kozi alinitoa kutoka kwenye kilo sabini na upuuzi Had kunileta kwenye kilo hamsini na chache pasipo zoezi tena kwa kunipunguzia kilo nne au tano kila week ....apo sijasahau radha yake ikiliwa na wali... unapoiponda sikuelewi..
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugali kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
 
Unaipikaje mkuu?? Nataka mtoto akisafiri nijipige kadiet flani hivii ka week 2
Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe....kabichi rafiki mkubwa kwangu kozi alinitoa kutoka kwenye kilo sabini na upuuzi Had kunileta kwenye kilo hamsini na chache pasipo zoezi tena kwa kunipunguzia kilo nne au tano kila week ....apo sijasahau radha yake ikiliwa na wali... unapoiponda sikuelewi..
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugali kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Haha juzi kati nilikuwa kijiweni kubishana katika hili la kabichi, binafsi kabichi siikubali kabsa iwe na ugali hata na wali....
 
Mkuu hujawahi pigwa na shida mpka kabichi ikawa ndo best alternative kwako, haya maisha acha kabisa watu wanatoka mbali sana aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom