NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,960
- 2,938
Ni kweli KABICHI sio MBOGA lakini kutokupenda kwako mboga za majani kutakugharimu mkuu.ni lini Mara ya mwisho kula mboga za majani?kabichi sio mboga.kwanza mimi uwa sipendi mboga za majani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli KABICHI sio MBOGA lakini kutokupenda kwako mboga za majani kutakugharimu mkuu.ni lini Mara ya mwisho kula mboga za majani?kabichi sio mboga.kwanza mimi uwa sipendi mboga za majani.
Daah umenikumbusha mbaaali sana mkuuWatu Tunakula Ugali Na Karanga, Sembuse Ugali Na Kabeji!
Zero IQ anaogopa kujikata,maana wengi tunazipenda ila changamoto kuikata japo wauzaji wa maeneo yangu wanakukatia UkitakaNi kweli KABICHI sio MBOGA lakini kutokupenda kwako mboga za majani kutakugharimu mkuu.ni lini Mara ya mwisho kula mboga za majani?
Mbona Kuna VEGETABLE CUTTERS zinauzwa Bei rahisi TU mkuu.si mnanunua Kuliko madhara ya kuto kula mboga hizoZero IQ anaogopa kujikata,maana wengi tunazipenda ila changamoto kuikata japo wauzaji wa maeneo yangu wanakukatia Ukitaka
Aaah hapo umenifumbua macho mkuuMbona Kuna VEGETABLE CUTTERS zinauzwa Bei rahisi TU mkuu.si mnanunua Kuliko madhara ya kuto kula mboga hizo
watu tunakula ugali na picha ya samaki, sembuse kabichiHivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugali kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugali kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugali kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Mboga safi ni ugali wenyewe tu, yani unasonga ugali mkubwa na kingine kadogo kalaini unafanya ndiyo mboga.Hutokaa uache pishi hilo.
Mboga ninayoikubali ni ugali tu.Yani unasonga ugali mbili, mmoja mkubwa mgumu na mwingine mdogodogo mlaini, huu mdogo ndiyo mboga.
Bonge la menu hilo.
😂😂😂😂 Kwako imekaaje, kabichi linapanda eee?
Kwako imekaaje, kabichi linapanda eee?
Hahahaa. Na ndio mboga yangu hiyo sijui itakuwaje? 💃💃💃nikija kwako dada usinipe kabichi hata litiwe maini ya ng,ombe mzima sili aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Uje bwana mdogo wangu nilikuwa nakuchemsha tu.
Hahahaaa. Uje bwana mdogo wangu nilikuwa nakuchemsha tu.
Mgeni huwa ana heshima zake bana.
Hahahaaa. Wala sisubiri utulie.