Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Huwa najiuliza hivi Mimi na mfalme Suleiman nani anafaidi maisha? Au Mimi na Vasco da Gama Nani anainjoi maisha? Imagine wewe na karli Peter's Nani amebarikiwa? Au Kuna raha gani aliyoipata William Shakespeare kunizidi Mimi?
Kiufupi hao niliowataja hapo juu hawakupata neema tunayoipata sisi. Maana haijui whasap Twitter tik tok internet umeme tv computers magari ndege meli na kila kitu kinachosapoti mfumo wa maisha yetu ya Sasa.
Imagine Suleiman na fahari yake yote hajawahi kuona TV.
Mshukuru mungu kuishi Karne hii wewe umependelewa kuliko hata Michelangelo na Cleopatra.
Kitu pekee tunachofanana nao ni kugegeda baaasi. Wao waligegeda mbunye/mbususu nasisi Leo tunagegeda mbunye/ mbususu.
Superbug
Kiufupi hao niliowataja hapo juu hawakupata neema tunayoipata sisi. Maana haijui whasap Twitter tik tok internet umeme tv computers magari ndege meli na kila kitu kinachosapoti mfumo wa maisha yetu ya Sasa.
Imagine Suleiman na fahari yake yote hajawahi kuona TV.
Mshukuru mungu kuishi Karne hii wewe umependelewa kuliko hata Michelangelo na Cleopatra.
Kitu pekee tunachofanana nao ni kugegeda baaasi. Wao waligegeda mbunye/mbususu nasisi Leo tunagegeda mbunye/ mbususu.
Superbug