Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wiki iliyopoita Hosea alionekana alikiri hadharani kwamba ameshindwa kushugulikia vita dhidi ya rushwa ya vigogo kwa sababu amebanwa mikono na serikali kupitia DPP kwamba anakwamisha kesi zao kufika mahakamani. Kwa mara ya kwanza kabisa nampongeza Hosea kwa kusema kile kilicho cha kweli.
Namuomba naye IGP Mwema afanye hivyo hivyo -- kwamba jeshi lake linashindwa kuwalinda raia ipasavyo kwa sababu limebanwa mikono kwa kuingiliwa sana na wanasiasa. Na huo ndiyo ukweli -- siasa za wakubwa wa CCM ndiyo linaoendesha jeshi hilo na kulifanya kukosa weledi kabisa.
C-mon Mwema -- nawe jitutumue uwe jasiri kidogo kwa kukiri kile cha ukweli.
Namuomba naye IGP Mwema afanye hivyo hivyo -- kwamba jeshi lake linashindwa kuwalinda raia ipasavyo kwa sababu limebanwa mikono kwa kuingiliwa sana na wanasiasa. Na huo ndiyo ukweli -- siasa za wakubwa wa CCM ndiyo linaoendesha jeshi hilo na kulifanya kukosa weledi kabisa.
C-mon Mwema -- nawe jitutumue uwe jasiri kidogo kwa kukiri kile cha ukweli.