Ni bora Freeman Mbowe ajiuzulu ili kulinda heshima yake

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,860
12,291
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
 
Ninyi ndio mashetani ya nchi hii yaknayofurahia udhalimu na yameshiba kwa wizi kwa wananchi. Wewe ni jitu gani unayefurahia ushenzi unaoendelea nchi hii ambao Mbowe na wengine wamejitolea maisha yao kupambana nao! Mlozoea kushiba kwa makombo ya Magufuli mtakufa na kuwa mashetani wa nchi hii
 
Nin

Ninyi ndio mashetani ya nchi hii yaknayofurahia udhalimu na yameshiba kwa wizi kwa wananchi. Wewe ni jitu gani unayefurahia ushenzi unaoendelea nchi hii ambao Mbowe na wengine wamejitolea maisha yao kupambana nao! Mlozoea kushiba kwa makombo ya Magufuli mtakufa na kuwa mashetani wa nchi hii.
Mkuu hapa umeongelea upande wa mateso ya Mbowe, lkn umesahau kuongelea upande wa mateso ya familia ya Chacha Wangwe baada ya baba yao kuuwawa sababu ya kuhoji kuhusu kipengele cha ukomo wa madaraka ya mwenyekiti ndan ya chama chao.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kweli na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Mnatangatanga nini kesi iko Mahakanani. Si mlisema mna ushahidi wa Duniani na mbinguni?? Anza na Hangaya kwa kuipotosha Mahakama.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Heshima haiwezi kulindwa kwa kujiudhuru.
Muache Mwamba aendelee kupigania heshima yake.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Mbowe bado yupo sana. Endelea kuteseka mpaka uzeeke
 
Tuseme TU ukweli,
Uwenyekiti wa Mbowe anawanyima Sana usingizi chawa wa CCM
IMG_20210917_211740.jpg
 
Elf mbili na Ishirini na Tano
CHADEMA itakuwa na mwenyekiti Mwanamke na Mgombea Urais Mwanamke atakayepambanishwa na Mpinzani wake Rais wa Sasa Ndg Samia wa CCM.
 
Elf mbili na Ishirini na Tano
CHADEMA itakuwa na mwenyekiti Mwanamke na Mgombea Urais Mwanamke atakayepambanishwa na Mpinzani wake Rais wa Sasa Ndg Samia wa CCM.
Huenda hapa kuna ka ukweli fulani, acha tusubiri.
 
Mkuu hapa umeongelea upande wa mateso ya Mbowe, lkn umesahau kuongelea upande wa mateso ya familia ya Chacha Wangwe baada ya baba yao kuuwawa sababu ya kuhoji kuhusu kipengele cha ukomo wa madaraka ya mwenyekiti ndan ya chama chao.
Siku hizi mtu akipata ajali inakuwa kauawa na wenzie ?! .

Huna hoja. Mashetani nyie ndo mnataka CDM isiwe na viongozi active . Kama siyo kesi ni kuuliwa
 
Mkuu hapa umeongelea upande wa mateso ya Mbowe, lkn umesahau kuongelea upande wa mateso ya familia ya Chacha Wangwe baada ya baba yao kuuwawa sababu ya kuhoji kuhusu kipengele cha ukomo wa madaraka ya mwenyekiti ndan ya chama chao.
Polisi wafungue kesi nyingine ya hayo mauaji ya Wangwe kama Mbowe anahusika. Au wewe ni lile gang la Magufuli nini?! Mlizoea kula watu mtaona haki ya Mungu ilivyokuwa subirini.
 
Back
Top Bottom