Sana. Siku moja nimechukua sahani nimepeleka jikoni jamaa anaweke ugali nikakuta sufuria la kg 20 wanapikia ugali. Halafu Ile biashara hakuna kuhudumiwa yaani wewe fika chagua pande muoneshe mgosi Yule, kamata plate nenda jikoni weka ugali wako, nawa nje pale utasaidiwa Ile nyama ikatwe tu basi
Umesema Wasambaa? Oohh hao watakua mbali.