Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,205
Nina imani wengi tumeajiriwa ila tunatamani kuongeza kipato zaidi.
Naomba tuchangieni biashara ipi tunaweza fanya tukiwa kazini.
Kwa mimi kazi ambayo naweza fanya nikiwa kazini ni za kuuza bidhaa online na baadae nikitoka mida ya saa kumi nafanya delivery.
Je, wewe unafanya ishu gani na huku umeajiriwa???
Naomba tuchangieni biashara ipi tunaweza fanya tukiwa kazini.
Kwa mimi kazi ambayo naweza fanya nikiwa kazini ni za kuuza bidhaa online na baadae nikitoka mida ya saa kumi nafanya delivery.
Je, wewe unafanya ishu gani na huku umeajiriwa???