sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 325
- 2,292
Likizo inayokuja nataka kufanya kitu tofauti kwa watoto wangu.
Pamoja na kujisomea nyumbani ila nitaweka nguvu kuwafundisha biashara kwa vitendo.
Nataka niwafungulie biashara ya kufanya kila mtu na yake na wapo wawili.
Nitawakopesha mtaji na nitawadai wakimaliza likizo faida yao itanunulia mahitaji yao wanayotaka ya ziada.
Nisaidieni ni biashara ipi wanaweza fanya kwa mazingira ya nyumbani?
Note: mimi sio mfanyabiashara, nimepata hii idea ili kuziba gap nililokuwa nalo kwenye malezi yangu.
Pamoja na kujisomea nyumbani ila nitaweka nguvu kuwafundisha biashara kwa vitendo.
Nataka niwafungulie biashara ya kufanya kila mtu na yake na wapo wawili.
Nitawakopesha mtaji na nitawadai wakimaliza likizo faida yao itanunulia mahitaji yao wanayotaka ya ziada.
Nisaidieni ni biashara ipi wanaweza fanya kwa mazingira ya nyumbani?
Note: mimi sio mfanyabiashara, nimepata hii idea ili kuziba gap nililokuwa nalo kwenye malezi yangu.