Ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?

Sijui kama wakuu wa Exim huwa wanapitapita kwenye mitandao, natamani wangeona uchungu wa watu walionao juu ya huduma zao mbovu. Nilipanga kufunga akaunti yangu NMB nifungue exim ili nitape mastercard sasa inabidi nikae chini kwanza. Exim ni wazuri kwenye akaunti ya pesa za nje hasa USD kwa sababu gharama zao za kumaintain forex account ni ndogo sana ukilinganisha na mabenki yote TZ na hupati shida kuchukua.
 
Nimesoma posti zote inaonekana asilimia kubwa tatizo ni foleni ndani ya benki na pia kwenye ATMs.

Kwanini wajasiriamali wasianzishe third party/intermediary ATM services ambazo mtu wa benki yeyote ataweza kuchukua na kuweka pesa. Hizi ATMs ziwekwe kila kona badala ya kuwa maeneo yenye benki tu.

Ofcourse kutakuwa na extra charges lakini ni bora mtu ulipie kidogo kuliko kukaa kwenye foleni mpaka unazimia hapo kama yaliyomkuta yule dada pale NBC..:sick:
 
nilipo mie kuna NMB tu, so inabidi niipende hiyo hiyo, tarehe za kati haina shida kabisa ila mishahara ikifika ni balaa! NMB zote naona tisa ila migomigo nuksi, hata foleni yake huwa sielewi inaanzia wapi na kuishia wapi?
 
I hate foleni katika kupata huduma ya benki hasa pale ninapotaka kudeposit! Unawezaje kuniweka kwenye foleni wakati nakuja kukupatia pesa yangu? Kwenye hili nawachukia mno NBC, NMB na CRDB! Sijui wanaona sifa kuwa na mafoleni marefu!? Aaaghhh.


Mie mpaka nimelazimika kufanya urafiki na wafanyakazi wa Benki hizo ama ndugu wa wafanayakazi hao ili niendapo ninamwachia naye anadeposit shida inakuja ukiwa safarini mkoani.................yaaani huko ni balaa unaweza ugua!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
CRDB na NMB wanaongoza kwa mtandao mpana ndani ya nchi off course unaweza kwenda kokote huna haja ya kubeba fedha, utachukua huko na bila shaka usalama zaidi, NMB tatizo ni foleni lakini CRDB ukitoka Dar hakuna foleni kivile. VP swala la uzalendo? mimi ninapotaka kununua basi kwanza uzalendo... buy tanzanian..
 
EXIM is the worse bank inTanzania. Ukibahatika kupata ATM card hazifanyi kazi . Ukitaka hela counter eti ukasini mbele ya cashier au meneja akusainie sijui mamabo gani? Upuuzi mtupu. Ukitaka benki nenda nyingine mbaya lakini hii uisende nakuambia.
The way u hate Asians I knew that u were gonna say Exim!
Stop xenophobia
 
Benki zote mbovu. All solutions they attempt to implement, create even more serious problems.

Nyie mnaokaa ughaibuni, mnaona jinsi benki na hata maduka makubwa yanahudumia kwa kufuata namba iliyopo kwenye risiti unayopata baada ya kubonyeza mahala fulani.
Hivi hili haliwezekani hapa kwetu?
CRDB Kijitonyama wameanzisha hii system ya number, first in first outm, lakini wavivu kuita wateja, unaweza kaa na number yako muda mrefu bila kuitwa
 
The problem in these big banks like CRDB ni kwamba they have a lot of customers sasa hata customer care inakuwa poor thinking that hakuna siku watafall,this is what we call ignorance in business,competition bado ndogo,we need big banks atleast 50 in Tanzania strong like CRDB hapo ndipo tutaona best customer service and other banking facilities kwa Tanzanians.Vita vya kunguru..........Ni hayo tu Mr Gudboy and others
 
Barclays nadhani ni wazuri sana kuliko bank zote,ila mimi account yangu ya barclays nimefungulia nje ya nchi ndio maana inakuwa rahisi sana,ila hapo bongo ni vigumu sana kufungua wanataka vitu vingi sana!
 
Barclays nadhani ni wazuri sana kuliko bank zote,ila mimi account yangu ya barclays nimefungulia nje ya nchi ndio maana inakuwa rahisi sana,ila hapo bongo ni vigumu sana kufungua wanataka vitu vingi sana!

Mkuu kama kipato chako ni kidogo, usithubutu kufungua akaunti Barclays, makato yao utalia bila kupigwa.
 
Tanzania kuna utitiri wa mabenki.
Je ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?
Kuanzia huduma kwa wateja, bidhaa, makato, huduma za mikopo,uaminifu na huduma za atm

Nasty,

Wakati wenzetu wanashindania benki gani ina huduma nzuri zaidi, sisi tunashindania benki gani ina huduma mbaya zaidi.

Simsemi aliyeanzisha mada, ana akili sana, maana sehemu isiyo na huduma nzuri huwezi kuanzisha mashindano ya huduma nzuri.Na sehemu yenye huduma mbaya njia rahisi kabisa ya kuweka viwango si kuanzisha mashindano ya huduma nzuri (ambazo ni ngumu sana kuzi document) ni rahisi zaidi kuanzisha mashindano ya huduma mbaya.

Si habari ya kufurahia, lakini ndio ukweli wenyewe.
 
Niliwahi kujaza fomu kwa ajili ya simbanking ya crdb,miezi sasa hakuna kitu.Juzi nikawauliza vipi?.Mhudumu akaniambia hii kitu inachagua simu sana,kwa kiasi kikubwa haiko effective.
Kama ingekuwa effective basi inasaidia sana kupunguza foleni,wale wenye haja ya pesa ndogo ndogo wanamalizia nyumbani tu au barabarani.
 
Mkuu hamia BOA Bank kule mambo ni shwari, huduma first class!!! Believe me you will not regret.

Tiba

Never BOA ... this bank booooo. Tangu September 2011 nawaomba kufungua account hadi leo sijawezaLast time ndio wamekuja na msururu wa mahitaji utafikiri nataka kufungua account ya EPA wakati wafanyakazi wenzangu na kampuni hupitishia mishahara hapo but hawajali tena ,:sleepy:ilianza vizuri but it is now very bureaucratic
CRDB ndio benki yangu na haijawahi kuniangusha, good customer service and caring managers
kwa kweli compared to many bank I will suggest on to have a CRDB account.
 
NMB is the best. Barklays, I will never ever go there again. CRDB I left them a year ago. NBC also is good. The rest I dont know.
 
Back
Top Bottom