Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Hujui kitu we kapuku , uliza uongozi wa Voda , ilibakia kidogo iwe kama hayati TTCLYani mnasikitisha kweli, hivi kuna kampeni yeyote mliyowahi kufaulu?
Yani kina Lisu bila aibu wanahimiza msusie voda alafu baadae kidogo mnatoa namba zilezile za voda kwa ajili ya kupokea michango na nyie kwa uzuzu mnashangilia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app