BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Vigogo 'wavamia' msitu wa Sao Hill
Saturday, 11 December 2010 08:12
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera,
Mussa Mkama
WAKATI biashara ya magogo ikiendelea kutikisa vichwa vya viongozi wa serikali, imebainika kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, kada wa CCM, wakuu wa polisi na maafisa wa Takukuru ndio wanaomiliki vibali vya kuvuna magogo katika msitu wa serikali wa Sao Hill ulio wilayani Mufindi.
Vigogo 'wavamia' msitu wa Sao Hill
Saturday, 11 December 2010 08:12
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera,
Mussa Mkama
WAKATI biashara ya magogo ikiendelea kutikisa vichwa vya viongozi wa serikali, imebainika kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, kada wa CCM, wakuu wa polisi na maafisa wa Takukuru ndio wanaomiliki vibali vya kuvuna magogo katika msitu wa serikali wa Sao Hill ulio wilayani Mufindi.
Vigogo 'wavamia' msitu wa Sao Hill