Lukwangule
Senior Member
- May 25, 2009
- 157
- 2
Naam tairi la basi la AM COACH lilipasuka likasababisha watu 26 kufa pale kitangiri Nzega Tabora.
Kisha kukatokea tatizo katika tairi ala kwenye ndege.
leo asubuhi naambiwa kuna ajali nyingine ya basi majeruhi kibao huko huko Tabora eneo la Ziba wilayani Igunga.
Tunashukuru tu kupasuka kwa tairi la ndege ya ATCL kulikoambatana mvua kulipita salama japo sikubaliani na maelezo ya ajali yaliyotolewa na hao wanaomiliki ndege hiyo aina ya boeing 737-200 moja ya ndege ambazo ziliachwa kutengenezwa na kampuni ya Boeing mwaka 1988.
Duhh sijui unachanganya vipi mambo haya lakini ndio hivyo tena ng'ombe ya maskini. unavipanga wawili mmoja anakwenda chini bwaa na hatoki pale anavutwa na kuwekwa katika kaburi lake.
Halafu una magari yanayoenda bila kukaguliwa miguu na madereva wanaopania kufika saa mbili kabla ya wakati na hali inabadilika mhh. swali linabaki palepale ni gavana, ni matairi manake suala la matairi lilishazungumzwa sana na sijui hilo la ndege mhh
Kisha kukatokea tatizo katika tairi ala kwenye ndege.
leo asubuhi naambiwa kuna ajali nyingine ya basi majeruhi kibao huko huko Tabora eneo la Ziba wilayani Igunga.
Tunashukuru tu kupasuka kwa tairi la ndege ya ATCL kulikoambatana mvua kulipita salama japo sikubaliani na maelezo ya ajali yaliyotolewa na hao wanaomiliki ndege hiyo aina ya boeing 737-200 moja ya ndege ambazo ziliachwa kutengenezwa na kampuni ya Boeing mwaka 1988.
Duhh sijui unachanganya vipi mambo haya lakini ndio hivyo tena ng'ombe ya maskini. unavipanga wawili mmoja anakwenda chini bwaa na hatoki pale anavutwa na kuwekwa katika kaburi lake.
Halafu una magari yanayoenda bila kukaguliwa miguu na madereva wanaopania kufika saa mbili kabla ya wakati na hali inabadilika mhh. swali linabaki palepale ni gavana, ni matairi manake suala la matairi lilishazungumzwa sana na sijui hilo la ndege mhh