Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Mi simwelewagi huyu Pinda kwa kuwa anaongozwa zaidi na hisia. Lilipokuwa suala la Jairo alisema, "lau ningekuwa na Mamlaka ningeshaamua lakini namsubiri Rais atue South Africa nimpatie taarifa......" Lilipokuwa suala la kina Blandina akaamua, sielewi ni mimi mzito kuelewa au ni Pinda hajui mamlaka yake. Kwa Rais awamu hii ni Subjective na si taasisi kama tulivyozoea wakati wa Nyerere.Hapo ndipo ninaposhangaa, Pinda alionana nao na wakazungumza naye na sasa Kikwete .Kuna lipi jipya wlilozungumza na Pinda hakumwambia bosi wake. Safari bado ni ndefu aisee