The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Waraka wa Paulo kwa Tito na kwa Timotheo unatamka wazi kua viongozi wa kanisa wanapaswa kua na mke mmoja. Hilo halina ubishi kabisa.
Dhana ya mke mmoja ni dhana ni kwa ajili ya maaskofu, mapadri na wachungaji.
Sisi ambao sio maaskofu hatulazimishwi kua na mke mmoja, hiyo ni hiyari yetu. Mke mmoja ni kwa ajili ya viongozi wa kanisa pekee.
Sasa unashangaa huku kwetu kwenye ukatoliki, anaepaswa kua na mke mmoja kama maandiko yanavyosema yeye hana mke, sisi ambao sio maaskofu tunalazimishwa kua na mke mmoja, maana yake sisi tunalazimishwa kua maaskofu, hii sio sahihi kabisa.
Mada inaendelea.
Dhana ya mke mmoja ni dhana ni kwa ajili ya maaskofu, mapadri na wachungaji.
Sisi ambao sio maaskofu hatulazimishwi kua na mke mmoja, hiyo ni hiyari yetu. Mke mmoja ni kwa ajili ya viongozi wa kanisa pekee.
Sasa unashangaa huku kwetu kwenye ukatoliki, anaepaswa kua na mke mmoja kama maandiko yanavyosema yeye hana mke, sisi ambao sio maaskofu tunalazimishwa kua na mke mmoja, maana yake sisi tunalazimishwa kua maaskofu, hii sio sahihi kabisa.
Mada inaendelea.