huo wa pili toka chini mti gani?
Otesheni miti ya matunda acheni kujaza miti isiyo na faida kama mnataka kivuli jengea kwa maturubai au bati
mti mzuri sn huuNi hii hapa Nimejaribu kuifuatilia jina si Mkurungu kama nilivyoanisha awali so kama kunawajuzi watujuze ni aina gani huu mti.
Macadamia nut au Karanga miti.huo wa pili toka chini mti gani?
Panda minazi na papai na chungwa utakula utashiba pia embe fupi! Miti acha ibaki maporini!Hivooo?
Kwa kweli....Panda minazi na papai na chungwa utakula utashiba pia embe fupi! Miti acha ibaki maporini!
Upupu ni Bustani nzuri sana eti eeenh.!!?Upupu
ila huu kwa popo usiku ni balaa huwa wanafuata matunda yake yakianza kuiva,na wakisha kula wanapenda kunyea ukutaView attachment 946595mharadali una kivuli kizuri sana ukikua... 6mths tu unaanza kuweka kivuli..mradi umwagilie maji mengiii
duh had keroila huu kwa popo usiku ni balaa huwa wanafuata matunda yake yakianza kuiva,na wakisha kula wanapenda kunyea ukuta
Garden name huu inaitwa 'cotton brush'Sijui jina View attachment 946533
Mkuu hiyo avatar yako tunda hilo nilikuwa natumia kutegea ndege waliokuwa wanapenda kulilaKwa Morogoro Ukienda TSA au SUA, utapata miche na au mbegu, au vyote, kwa Dar sijui vinapatikana wapi.
hii thread ni nzuri Sana .... ningependekeza uwaombe moderators waibadili tittle iwe - Wanaopenda Mimea, miti, maua na Garden .... Kwenye forum ya Habari mchanganyikoHabari zenu wajameni,
Nahitaji msaada kujua aina ya miti inayokua kwa muda mfupi, yenye kivuli kizuri na show nzuri.
Iwe environmental friendly, Yasiwemakazi ya wadudu. nmekua curious kutengeneza backyard Garden sehemu ambayo ntaitumia kupumzika na kusoma.
Huu mti unapendwa na walevi balaaNi hii hapa Nimejaribu kuifuatilia jina si Mkurungu kama nilivyoanisha awali so kama kunawajuzi watujuze ni aina gani huu mti.
Haswaaaaa...!! Mwenyewe nimetegea sana ndege anaitwa kolomoko, nhnumbutu na jijimya..!!Mkuu hiyo avatar yako tunda hilo nilikuwa natumia kutegea ndege waliokuwa wanapenda kulila
Sent using Jamii Forums mobile app