Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,620
- 2,142
Hatuna tofauti na Burundi yaan kwa utawala huu unaokuja ukikosoa hata kama serikali imekosea unafungwa kweupe
Hii ni mbaya sana wengi watakuwa na vinyongo hivyo watakuwa wanaombea mabaya yaan mungu alikosea sana kunifanya nizaliwe taifa la mazuzu namlaumu sana mpk siku ya mwisho
Hii ni mbaya sana wengi watakuwa na vinyongo hivyo watakuwa wanaombea mabaya yaan mungu alikosea sana kunifanya nizaliwe taifa la mazuzu namlaumu sana mpk siku ya mwisho