Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakutimiza masharti wapi bhana kuwa mkweli.Shoo ya DIAMOND ile ya uwanjani MAYOTTE haikufanyika kwa sababu promoter hakutimiza masharti,we zungumzia ya huyo "king "wenu anayelilia tuzo,wakati alishasemaga muziki wake ni mkubwa kuliko tuzo.
Na hakuna mtu anaeongea kweli kama hater ukweli show imebuma cjui imehudhuriwa tu na watu ww mediaKazi ya hater ni ku-hate.
Masharti gani mkuu? ?nlikuwa sijui kama show haikufanyikaShoo ya DIAMOND ile ya uwanjani MAYOTTE haikufanyika kwa sababu promoter hakutimiza masharti,we zungumzia ya huyo "king "wenu anayelilia tuzo,wakati alishasemaga muziki wake ni mkubwa kuliko tuzo.
huyu jamaa mbona anapenda sana kwenda Mombasa??? Kuna nini huko Mombasa??? Uchunguzi wa kina ufanywe na mkuu Makonda..Mbona watu wachache sana afu picha zimepigiwa mbali sana afu full cropping za kutosha......daah aibu sana sizani kama watu 300 wanafika kwny hii show ni aibu sana
Ushauri msanii ukiona show imebuma jaribu kuuchuna usiposti picha mbona mond show zake zinapobuma hapostigi picha anakausha tu kwa mfano show ya uwanjani ile aliyofanya Mayotte hakuposti unajua tatzo nn
Kiba siku nyingne ukiona show yako imebuma kausha tu show gan mbovu iv watu wachache kweli afu unajisifu unakubalika mombasa punguzeni sifa zitawaponza
EvidenceDiamond unamuweka na davido, tecno, wizkid, A.K.A nk kumuweka na ally kiba ni kufanya makosa makubwa maana kiba ndo anaanza kuchukua tuzo alizoanza kuchukua mond 2012, kwa kifupi kuna distance kubwa kutoka kiba mpaka kumfikia mond pia kuna utofauti mdogo sana kati ya msanii kama mavoko na kiba.
Sasa kama ni hivyo, mbona ile show ya Dodoma tuliambiwa hakufanya kwa sababu watu walikuwa wachache ukumbini (perugina club)!?Ishu ni show au kulipwa Mkwanja??
Ninavyojua Mimi,
Msanii anapaswa kulipwa advance kabla ya kuanza hata safari,
Halafu Anamaliziwa Pesa yake kabla ya kupanda Jukwaani,
Swala la Show Kujaa au Kutokujaa sidhani kama linamuhusu yeye sana, hizo ni Juhudi za waandaji wa show ili wauze ticket nyingi na kupata faida.
Kwa hiyo KIBA kufanya show Mombasa, hata kama ni kila weekend ni sawa tu cha Msingi analipwa pesa yake inatosha.
Huwezi kuchagua pa kufanyia show, Ni kama Business nyingine yeyote Huwezi kuchagua Mteja, Mteja ni yeyote yule anayefikia Bei yako.
Millard ayo ana full video ya maelezo ya waaandaji usipend kuwasikiliza watuSasa kama ni hivyo, mbona ile show ya Dodoma tuliambiwa hakufanya kwa sababu watu walikuwa wachache ukumbini (perugina club)!?
Alichelewa kufika baada ya kumisi flight ya kutoka Nairobi Kenya to Dsm, alifika saa 7:40 usiku wakati alipaswa kufika saa 4 usiku, Mashabiki waliondoka, akaamua kuahirisha kwa sababu swala la kumisi flight huwa inatokea sana, hata Ommy Dimpoz aliwahi kumisi flight Amsterdam wakati anaelekea USA kufanya show na aliahirisha, hata Chris Brown last time in kenya alitamani kupanda mapema ili asimisi flight, Kumbuka Ndege huwa hazisubiri kwa sababu wanajua kabisa anga la Tanzania wanapaswa kufika au kupita saa ngapi, haya ya kumisi flight ni kawaida sana, kuna watu wanafika airport 1 hrs before flight take off, huingiiii!!! sanasana kukusaidia wanakubadilishia flight.Sasa kama ni hivyo, mbona ile show ya Dodoma tuliambiwa hakufanya kwa sababu watu walikuwa wachache ukumbini (perugina club)!?
Huyu hana app ya Millard ayo,msidie kwanza halaf akiona yule promota akiongea atakuja kutuomba samahanMillard ayo ana full video ya maelezo ya waaandaji usipend kuwasikiliza watu
Sasa kama alimis flight na akasema show watairudia tar 28 mbn picha hatuzioni.....Alichelewa kufika baada ya kumisi flight ya kutoka Nairobi Kenya to Dsm, alifika saa 7:40 usiku wakati alipaswa kufika saa 4 usiku, Mashabiki waliondoka, akaamua kuahirisha kwa sababu swala la kumisi flight huwa inatokea sana, hata Ommy Dimpoz aliwahi kumisi flight Amsterdam wakati anaelekea USA kufanya show na aliahirisha, hata Chris Brown last time in kenya alitamani kupanda mapema ili asimisi flight, Kumbuka Ndege huwa hazisubiri kwa sababu wanajua kabisa anga la Tanzania wanapaswa kufika au kupita saa ngapi, haya ya kumisi flight ni kawaida sana, kuna watu wanafika airport 1 hrs before flight take off, huingiiii!!! sanasana kukusaidia wanakubadilishia flight.
Ingia millardayo.
Anapendwa afu show zinabuma kupendwa uko vipiMombasa kiba ni kama Jay-Z akiwa New York, anapendwa sanaaaa
Je kajiandae alioshirikiana na ommy, na lupela kumbe cyo zake au kwa kuwa zimebuma mnazikataaaTehteh diamond bana.... Wimbo 1wa kiba Povu beseni zima je angetoa na nyigine c mngekufa na presha?
yani aje kwa ngoma 3za chibu lkn aje bado iko juu.
Lol