Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,424
- 85,868
Yaani tumeshindwa hata kutoa article tu? Ni kweli UKIMWI umekua sio tatizo nchini? Week iliyopita tulikutana pale Kinondoni ili kujua at least namna ya kuadhimisha siku hii maana serikali haijatoa hata senti tano, tukaamua Washika Dau wenyewe ndio tujichangishe ili tuadhimishe. Kwangu mimi naona kama serikali inacheza na hili janga.
Maadhimisho haya yalisaidia sana kueneza taarifa sahihi na kuhamasisha watu juu ya madhara ya UKIMWI, leo hii nchi nzima kimyaaaaa. Kama unajiamini huna UKIMWI basi kumbuka una ndugu jamaa au marafiki wanasumbuliwa na huu ugonjwa. Siku yakikufika basi utajua nini maan yake.
Kuna mdada mwaka jana au juzi alianzisha thread hapa juu ya UKIMWI ulivyokuwa unamtesa, ile thread ilinitoa machozi lakini leo hii serikali imekaa kimya. Haya bhana
Invisible naomba nitafutie ile thread ya yule Dada, nadhani ilikua inasema UKIMWI bila Hela ni Mateso!!!! Uniwekee hapa ili kuikumbusha serikali
Maadhimisho haya yalisaidia sana kueneza taarifa sahihi na kuhamasisha watu juu ya madhara ya UKIMWI, leo hii nchi nzima kimyaaaaa. Kama unajiamini huna UKIMWI basi kumbuka una ndugu jamaa au marafiki wanasumbuliwa na huu ugonjwa. Siku yakikufika basi utajua nini maan yake.
Kuna mdada mwaka jana au juzi alianzisha thread hapa juu ya UKIMWI ulivyokuwa unamtesa, ile thread ilinitoa machozi lakini leo hii serikali imekaa kimya. Haya bhana
Invisible naomba nitafutie ile thread ya yule Dada, nadhani ilikua inasema UKIMWI bila Hela ni Mateso!!!! Uniwekee hapa ili kuikumbusha serikali