Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,198
- 5,363
Wanabodi,
Najiuliza sana, hivi mpaka leo pamoja na maendeleo yote ya teknolojia na sayansi yake, ni kweli tumeshindwa kuja na namna ya kuwawezesha Watanzania wanaoishi nje ya mipaka yetu kupiga kura kuchagua viongozi kama haki yao ya msingi japo ya urais?
Kwamba na hili pia mpaka tulidai kama tunavyodai haki zetu zingine za kiraia?
Tunakwama wapi?
Najiuliza sana, hivi mpaka leo pamoja na maendeleo yote ya teknolojia na sayansi yake, ni kweli tumeshindwa kuja na namna ya kuwawezesha Watanzania wanaoishi nje ya mipaka yetu kupiga kura kuchagua viongozi kama haki yao ya msingi japo ya urais?
Kwamba na hili pia mpaka tulidai kama tunavyodai haki zetu zingine za kiraia?
Tunakwama wapi?