Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,453
Sote tunatambua umuhimu na madhara ya siasa ktk maendeleo ya nchi na kwa mtu moja moja.pia tunajua umma mkubwa wa watanzania ni WAJINGA ni sisi pekee tunaweza badilisha hali hyo play your part.
Ili ujue kitu fulani ni kizuri au kibaya ni lazima ufanye mlinganisho.lets try anather political party.
Ili ujue kitu fulani ni kizuri au kibaya ni lazima ufanye mlinganisho.lets try anather political party.