Wafadhili kuendelea kuifadhili Serikali ya JK ni aibu kwani ndio wanaosisitiza demokrasia hivyo kumfadhili Rais anayelalamikiwa watakuwa na lao jambo na nchi yetu.Hivyo ni vema wamshinikize asuluhishe tatizo lake na wanaomkataa(Chadema).
Wewe unafikiri akili za wafadhili zinafanana na CHADEMA?
Wewe unafikiri akili za wafadhili zinafanana na CHADEMA?