Ni aibu kwa taifa letu kumuona Prof Abdulrazak Gurnah kama shujaa wa taifa letu, wakati huko nyuma hajawahi kutambuliwa kwa kazi alizofanya

Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.

Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.

Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Sio aibu. Hii nchi ina watu wengi sana ndani na nje. Hatuwezi kuwatambua wote kwa pamoja. Linapotokea jambo la kufanya mtu ajulikane kiasi hicho ni vyema kumpongeza
 
Macho_Mdiliko.

Unafikiri uzalendo ni nini?
Unaweza kuwa mzalendo kama huithamini lugha yako ya Taifa?

Unaweza kuwa mzalendo kama huiwakilishi lugha yako ya Taifa vema kimataifa?

Kiswahili si alama ya Taifa?
Hebu nitajie alama za Taifa.

Mmeulizwa Bw. Gurnnah ana uraia wa nchi gani? Badala mjibu mnaruka.

Abdulrazack Gurnnah ni raia wa nchi ipi?
Tanzania ina uraia pacha?

Matusi hayajengi, Karibu tujifunze pamoja.
 
Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.

Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.

Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Kwani walishazisoma hizo kazi zake?
Si wanapenda sifa tu?
Ila wale wanaokamatwa huko uchina na A kusini hatuwajui!
 
SIKU ITAKAPO KUJA KUTANGAZWA YA KWAMBA TANZANIA WAMERUHUSU URAI PACHA NDIO SIKU TANZANIA INAPATA MAENDELEO YA KWELI SABABU KUNA VICHWA WAZAWA WA KITANZANIA VIPO DUNIA YA KWANZA WACHA.

NAHAKUNA SABABU YA KUWAKATA WATU WENU AMBAO WAMEKWENDA NJE KUTAFUTA MAISHA KWA AJILI YA FAMILY ZAO LEO HII UNAWAAMBIA SIO WATANZANIA NA WAKIRUDI NCHI ZAO ZA ASILI WANA TREATIWA KAMA WAGENI.

BASI HATA KAMA HAMTAKI KUWAPA URAI BASI AT LEAST INGIANZISHWA SHERIA ZA KUWATAMBUA DIASPORA WA KITANZANIA NA KUWAPO SPECIAL STATUS YA KUISHI BILA VIZA NA KUFANYA CHOCHOTE CHA KIMAENDELEO KAMA MTANZANIA WA KAWAIDA ILA WASIJI INVOLVE NA MAMBO YA UTAWALA AU UCHAGUZI AT LEAST INGE MAKE SENSE KULIKO KUWAFANYA KAMA WAGENI.

Viongozi wa Tanzania/CCM hawataki “vichwa”, wanataka “wazalendo”.

Aidha, wana hulka ya kuwaona Watanzania walio nje kama wapinzani fulani hivi; kama supporters wa CHADEMA vile. Hawako tayari hata kuruhusu watanzania hao wapige kura kwa uratibu wa balozi za Tz huko nje.

Kuna nchi haziruhusu uraia pacha lakini zinathamini na kutumia sana vipaji vya watu wenye asili ya nchi yao. Zinawapa vitambulisho maalum waweze kuingia na kufanya shughuli nchini kirahisi zaidi. Mfano ni Ethiopia.
 
Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.

Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.

Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Ukiona hata demu yoyote Bar anajipendekeza kwa mtu mwenye bia nyingi mezani basi hesabu hasara .

Wameona amepata heshima wanampapatikia , lakini huko unguja mwenye rangi kama yake huitwa CHOTARA (HIZBU)
 
Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.

Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.

Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Kwani alikuwa anaiandikia Serekali au alikuwa anaandika kwa faida yake? Hata sasa Serekali imepongeza kwakuwa jina Tanzania limetajwa na hiyo ndio sifa kwetu ila hela zake faida yake
 
Ni mtanzania? Jibu ni hapana, siyo mtanzania ila ana asili ya Tanzania. Media nyingi zimeandika ni mtanzania kwa nini? Media nyingi zilizoripoti hii habari ni amedia za nchi zilizostaarabik. Nchi zilizostaarabika zinajua kuwa uraia wa mtu hauwezi kufutika kwa yule mtu kupata uraia wa nchi nyingine.
Umepata wapi hiyo?! Umetoa kichwani, au?

Na waandaaji wa Nobel na wenyewe ni media hata washindwe kusema ni Mwingereza?

Kent University ambako amefanya kazi kwa miaka kadhaa na wenyewe ni media hata kwenye biography yake washindwe kusema ni Mwingereza?

Anyway, tuyaache hayo na tuchukue mifano ya wazi...
As a young, Kenyan-Mexican actress living and working in America, Nyong’o said she had made a habit of suppressing her accent, a natural composite of the places she’s lived.
hao ni The New York Times wakimzungumzia Lupita... kwanini wasiandike "Kenyan" Actress na badala yake wamemtambua kutokana na uraia wake pacha?

Kisha hapa:-
The Kenyan-Mexican actress is the third woman of African descent to win the award in its 25-year history.
Hapo juu ni Washington Post wakimzungumzia Lupita... na wenyewe wamemtaja kama uraia wake unavyosema!

People Magazine, na wenyewe hawa hapa....
With the help of celebrity haistylist Vernon François, Lupita Nyong’o regularly turns heads on the red carpet with a variety of fabulous ‘dos, but the Mexican-Kenyan actress recently reflected on a time when her hair wasn’t so popular while living in Mexico.
Wait... usije kusema Lupita amezaliwa Mexico, kwahiyo lazima wataje uraia wa kule alikozaliwa na wa asili, lakini Eurosport hawa hapa:-
Vieira has signed a three-year contract with the club and takes up his role on 1 January 2016 in advance of pre-season for its second MLS campaign. The 39-year-old Frenchman, who was capped 107 times for France and notched up 279 appearances for Arsenal, finally makes the move after being linked with the move for a number of weeks.
Viera kaitwa Frenchman wakati kazaliwa Senegal

The Guardian UK nao hawa hapa...
Patrick Vieira has been appointed as manager of the Ligue 1 side Nice. The former Arsenal captain has left his role as head coach role of New York City FC to replace Lucien Favre at the Allianz Riviera.

The Frenchman had been linked with replacing Arsène Wenger at Arsenal following his countryman’s departure, but he now returns to his homeland to take charge of a Nice side that finished eighth last season.
Nao wanamuita Viera "a Frenchman"!!

Tafuta mifano mingine yoyote unayoifahamu wewe, unless kama sijakuelewaulikuwa unajaribu kusema nini hasa. Na labda hapa niseme jambo moja... inawezekana ni kweli Abdulrazak akawa ni British Citizen lakini narudia tena, sijaona source yoyote (maybe ipo) inayosema he's British!! And trust me, am good at researching!!!

Nina hofu kwamba unachanganya kati ya uraia na ukaazi wa kudumu (Permanent Residency). Inawezekana Abdulrazak akawa na UK Permanent Residency Status lakini hiyo hamfanyi kuwa British Citizen!!

US too, hata ukipata status ya permanent residency au ukipata green card through diversity program, bado utaendelea kutambulika kama raia wa nchi ulikotoka. Ukiwa naturalized, ndo utaanza kutambulika kama US Citizen na kuanzia hapo utakuwa regarded as a US Citizen and any other citizenship lakini utaapa allegiance to the US!
Ndiyo maana hata mtanzania anapopata uraia wa hizi nchi, kwenye database yao wanaweka ni raia wa ile nchi na pia ni raia wa Tanzania. Je, Tanzania inaamini hivyo? Hapana! Tanzania wanasema ukipata uraia wa nchi nyingine huwezi tena kuwa mtanzania. Cha kushangaza: Mbona wanang'ang'ania ni mtanzania?
Kama wanaona ni Mtanzania, wanafanya kosa lipi wakimchukulia kwamba ni Mtanzania? Kuna yeyote aliyeonesha ushahidi kwamba the old man sio Mtanzania?! Hata wewe una reference yoyote reliable ambayo inasema ni British Citizen?

Tulikuwa na akina Abdulrahman Babu ambao nao ni Wazanzibar na walienda uhamishoni UK lakini bado walibaki na uraia wao wa TZ!! Similar to Babu, we also had people like Kambona!
 
Hivi una akili timamu? Nchi zote duniani zinathamini raia wao hasa ambao wanaonyesha kuwa na mchango mkubwa katika jamii. Prof Gurnah amefundisha huko Kent Uni toka mwaka 1982 hatukusikia hata wizara ya mambo ya nje ikisema kuna mtanzania makini anafumsisha huko Kent Uni basi aalikwe hata University yoyoye kuja kuongea. Leo hii baada ya kupata tuzo ndio iwe fahari ya taifa?

Tumia akili we mpuuzi. Hoja kubwa ni kuthamini michango ya watanzania kwa taifa lao.
Vipi dadangu, mbona unaleta matusi bila sababu za msingi? Ni ulumbukeni wa mitandao auujanja wa kuiga? Au ndo heat period zako zinakujiaga kwa staili hiyo? Acha use'nge dadangu, manake kama unajiona wewe fyatu basi kuna mafyatu zaidi yako kahaba mkubwa wewe....

Halafu ona ulivyo mpumbavu?! Yaani ulitaka ufahamu uwepo wake kwa sababu alikuwa anafundisha Kent University? Hivi una akili timamu kweli wewe?! Au una akili ya kuvua chupi tu tayari kwa kuingiliwa?
 
Vipi dadangu, mbona unaleta matusi bila sababu za msingi? Ni ulumbukeni wa mitandao auujanja wa kuiga? Au ndo heat period zako zinakujiaga kwa staili hiyo? Acha use'nge dadangu, manake kama unajiona wewe fyatu basi kuna mafyatu zaidi yako kahaba mkubwa wewe....

Halafu ona ulivyo mpumbavu?! Yaani ulitaka ufahamu uwepo wake kwa sababu alikuwa anafundisha Kent University? Hivi una akili timamu kweli wewe?! Au una akili ya kuvua chupi tu tayari kwa kuingiliwa?
Tayari nimeshakumwaga mavi
 
Anashughulika na vitabu vya lugha gani?

Nitajie kitabu chake hata angalau kimoja kilichoandikwa kwa Lugha ya Kiswahili.
Tutajie kitabu ambacho mwandishi nguli wa Nigeria, Chinua Achebe, aliandika kwa lugha yoyote ya Nigeriia isipokuwa Kiingereza.
 
Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.

Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.

Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
by the way serekali ya Tanzania haijawahi kuhoji urahia wake kweli?. .........................nikilri wazi kuwa sisi bado hatujastaarabika
 
Back
Top Bottom