UnamaanishajeNajiuliza kama mke WA zumo angekuwa EX wa madee sijui ingekuaje, mambo mengine ni ya kumuachia Mungu.
Unamaanishaje
Jamani..watoto wa umri ule wakikaa pamoja ni rahisi kuona wanafananaMtazame Mai zumo na mtoto wa madee (chonge)
Akiwa mkubwa Sura na tabia vitadhihirisha nasaba yake...kwa sasa ni mapema kujudge.
Basi Leo umejuwa ....Yule sio babaako dogoUnazani mama angu malaya kama mama yako
HahaaaMtoto wa Diamond kafanana na baba yake mkubwa