LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,124
- 11,114
Hii tamaduni ilianzia maeneo ya pwani hasa kwa wazaramo ndio ilikuwa tabia yao yaani mtu mzima bado anaishi kwao hana kazi yoyote, anaenda kuzalisha huko alafu mke na mtoto analeta nyumbani wazazi wake ndio wanalea
Wengine walikuwa wanakimbilia mjini wanacheza rafu wanazalisha wanawake alafu wanawapandisha kwenye mabasi kuwapeleka vijijini kwa wazee wao kwa kisingizio cha maisha magumu
Lakini sasa imekuwa ni rasmi wakuu kila sehemu hapa tz vijana wanatesa wazazi wao, vijana tumeshindwa kuwaonea huruma waliotulea, badala ya kuwasaidia waliotulea sisi ndio tunazidi kuwaongezea mizigo
Naongea hayo maana kuna jirani yangu hapa mmama wa kindengereko aliolewa na mzaramo kwa bahati mbaya mmewe alifariki wakati watoto wa dogo, ana watoto watatu, mama kajikaza kulea watoto hadi wakawa wakubwa
Mmoja wakike kazalia watoto wawili hapo hapo Nyumbani, na wengine wawili wa kiume wameleta hapo hapo nyumbani wanawake zao na watoto juu na kazi hawafanyi yani mama yao ndio anachakarika tu na biashara ndogo ndogo kulea huo mzigo.
Vijana hebu tubadilike jamani
Wengine walikuwa wanakimbilia mjini wanacheza rafu wanazalisha wanawake alafu wanawapandisha kwenye mabasi kuwapeleka vijijini kwa wazee wao kwa kisingizio cha maisha magumu
Lakini sasa imekuwa ni rasmi wakuu kila sehemu hapa tz vijana wanatesa wazazi wao, vijana tumeshindwa kuwaonea huruma waliotulea, badala ya kuwasaidia waliotulea sisi ndio tunazidi kuwaongezea mizigo
Naongea hayo maana kuna jirani yangu hapa mmama wa kindengereko aliolewa na mzaramo kwa bahati mbaya mmewe alifariki wakati watoto wa dogo, ana watoto watatu, mama kajikaza kulea watoto hadi wakawa wakubwa
Mmoja wakike kazalia watoto wawili hapo hapo Nyumbani, na wengine wawili wa kiume wameleta hapo hapo nyumbani wanawake zao na watoto juu na kazi hawafanyi yani mama yao ndio anachakarika tu na biashara ndogo ndogo kulea huo mzigo.
Vijana hebu tubadilike jamani