February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
Ndo ivyoTanzania hakuna miji kuna vijiji
Ndo ivyoTanzania hakuna miji kuna vijiji
basi nishafahamu,kumbe ww unataka ligi,aiseee wacha bwana,hujajibu hata suala la taa barabarani na ni muda gani zipo gizani,vipi kuhusu halmashauri kufulia,nimeshangaa jana hata lile billboard kubwa pale karibu na passion hotel limepata tangazo la sayona...hahahahaha
eti 2 years,mi naongeza na mingine mitatu hakuna kitakachofanyika,tunza hii comment.
Hali siyo nzuri Mwanza. (1) machinga wamejazana mbele ya maduka hasa Barabara ya Nyerere na hakuna cha kuwafanya. Katika nchi iliyo na maendeleo lazima kuwe na mpangilio wa kila kitu ndiyo maana kuna Idara katika Halmashauri zetu inayoitwa Idara ya Mipango Miji. Machinga wanatakiwa wapewe sehemu yao maalum lakini hawaguswi na viongozi wa Jiji ukiwaeleza kuhusu machinga hawana la kufanya.
(2) Soko Kuu lilivunjwa kwa nia nzuri kabisa ya kujenga soko la kisasa lakini sasa yapata kama miezi mitano hakuna kinachoendelea. Labda kuna sababu ya maana lakini hata hivyo basi wananchi tungeelezwa juu ya ucheleweshaji huo.
(3) Serikali ione uwezekano wa kuwapa Halmashauri fedha za kutekeleza shida ndogo ndogo zinazojitokeza ili zirekebishwe mara moja.
(4) Soko ambalo wafanyabiashara wamehamia kutoka soko kuu linasikitisha. Kwa kweli ni pachafu na hasa Jumapili wafanyabiashara wanapanga bidhaa zao mpaka barabarani. Hapa Mwanza kuna tatizo. Mwanza kunihitajika Idara ya Mipango Miji ambayo haingiliwi vinginevyo kila mtu atakuwa ndiye Afisa Mipango Miji.
Mkuu ni kweli Tz Hakuna miji..ni vijiji...Juzi nilipita Mwanza Kuna barabara ipo Mlango 1 Hapo karibu na Aspen hotel..Imechimbika Yaani ni shimo ukiwa na hizi gari ndogo safari yako inaweza kuishia hapo... Tafadhali Tarura fikeni hapo Aspen Mlango 1..Rekebisheni icho kipande..Siyo mpaka tupige picha na video mseme sisi siyo wazalendo na tumezuia watalii kuja kuangalia Mawe na ziwa Victoria..Tanzania hakuna miji kuna vijiji
Umegundua, Mimi nimeliona hilo mapema.
achana nae hawezi shindana na jiji la mwanza Rock City,Umegundua, Mimi nimeliona hilo mapema.
Mimi nishamsoma huyo jamaa ndo anachokitaka... Mpuuze
Hicho kipande nakipata na nikidogo tu katika barabara... Lakini hicho kipande kisiwe sababu ya kushusha hadhi ya mji... Je mlingano wa barabara nzur na mbaya katika huo mji ukoje.Mkuu ni kweli Tz Hakuna miji..ni vijiji...Juzi nilipita Mwanza Kuna barabara ipo Mlango 1 Hapo karibu na Aspen hotel..Imechimbika Yaani ni shimo ukiwa na hizi gari ndogo safari yako inaweza kuishia hapo... Tafadhali Tarura fikeni hapo Aspen Mlango 1..Rekebisheni icho kipande..Siyo mpaka tupige picha na video mseme sisi siyo wazalendo na tumezuia watalii kuja kuangalia Mawe na ziwa Victoria..
Nimeona hakuna majibu zaidi ya kubishana ndio maana nikakupa hizo location za ofisi maana inaonekana umepita kila kona za mji itapendeza ukapita na kwenye ofisi hizo na huenda wakati unakwenda ukakutana na story nyingine ya kujazia kwenye uzi. Hiyo usiite stand mpya kwa kuwa kimsingi hapo sio stand ni wamevamia kwa muda kama ilivyokuwa stand ya Ngangamfumuni kule Moshi wakati wanapisha stand ya sasa, pia kama ilivyo stand ya Dodoma kule Ihumwa wakisubiri stand mpya inayojengwa upande wa pili wake.kama kila kitu kina chopostiwa humu ilitakiwa watu wkaulize basi kusingekuwa na posts kabisa.
Hizo pics zinaondoa ukweli gani kwamba barabara za mwanza hazifagiliwi,security lights haziwaki,barabara za mtaani ni mahandaki,stendi mpya ya mkoa ni kituko cha karne na kwamba wamachinga wame flood mjini hadi mbele ya maduka ya watu
hiyo picha ya mdau drone hapo juu ya kwanza nje ya soko sijui ilipigwa mwaka gani maana hata akienda jumapili hii ausbuhi hupati pic kama hiyo,ni vurugu na uchafu wamama wauza vitumbua hadi barabarani kwenye lami
ni vuluvulu,ndiyo maana nilianza kwa kusema mgeni akiingia mwanza leo atashangaa sana haswa ukichukuliwa lango la kuingilia ni nyegezi..hahahahahha