Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,083
- 92,515
Atakuwa nje ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa ufafanuzi, weka na ushahidi. Tuone kama ulichoandika ni kweli au unafanya propaganda hapaYupo jamaa mmoja hapa JF ambaye kwa muda mrefu amekuwa akikosoa Serikali akiwa mafichoni huko Marekani kwa jina la T.L.Marandu. Juzi amesikika kwenye You tube akimtukana na kumkashifu Rais wa Nchi yetu bila aibu wala adabu. Katika kauli zake alionesha kujaa chuki na kutoa tuhuma nyingi moja kwa moja kwa Rais kama mtu na siyo Taasisi.
Kumbe huyu jamaa anatukana akiwa Marekani amejificha kwa dada yake aliyeolewa huko! Ni aibu na upumbavu wa hali ya juu kumkashifu Rais kwa kile kilichodaiwa kufuta Ardhi ya Bwana fulani mroho aliyemiliki sehemu kubwa ya ardhi bila kuendeleza huku wananchi wa kawaida wakiteseka. Huyu mtu pia anatoa tuhuma ambazo hana uhakika nazo kwa kuihusisha Serikali na mauaji ya kijana mmoja wa CHADEMA (kama kweli anao ushahidi).
Alisikika akimlaumu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa kwa kile alichodai ulegevu na kutomchukulia hatua Rais. Haieleweki kama T.L.Marandu ndio hatokanyaga tena Tanzania au anadhani kuwa Serikali haiwezi kumpata kwa kuwa amejificha Nje ya Nchi?? Nina mashaka kama kweli huyu ni Mzalendo wa Nchi hii au anatumiwa na watu fulani kwa maslahi yao. Jamani Rais wa Nchi ni lazima apewe heshima yake maana tumemchagua wenyewe na anapodhalilishwa ni sawa na kudhalilisha Taifa pia. Vijana kumbukeni kuwa mdharau kwao ni mtumwa na tujifunze kuheshimu Viongozi wetu.
Nenda na wewe marekani basi ukawatukane wapinzani
Yupo jamaa mmoja hapa JF ambaye kwa muda mrefu amekuwa akikosoa Serikali akiwa mafichoni huko Marekani kwa jina la T.L.Marandu. Juzi amesikika kwenye You tube akimtukana na kumkashifu Rais wa Nchi yetu bila aibu wala adabu. Katika kauli zake alionesha kujaa chuki na kutoa tuhuma nyingi moja kwa moja kwa Rais kama mtu na siyo Taasisi.
HEBU TAFADHALI TUELEZE MAANA YA UZALENDO. PIA WEKA ANDIKO LA HUYO MARANDU
Kumbe huyu jamaa anatukana akiwa Marekani amejificha kwa dada yake aliyeolewa huko! Ni aibu na upumbavu wa hali ya juu kumkashifu Rais kwa kile kilichodaiwa kufuta Ardhi ya Bwana fulani mroho aliyemiliki sehemu kubwa ya ardhi bila kuendeleza huku wananchi wa kawaida wakiteseka. Huyu mtu pia anatoa tuhuma ambazo hana uhakika nazo kwa kuihusisha Serikali na mauaji ya kijana mmoja wa CHADEMA (kama kweli anao ushahidi).
Alisikika akimlaumu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa kwa kile alichodai ulegevu na kutomchukulia hatua Rais. Haieleweki kama T.L.Marandu ndio hatokanyaga tena Tanzania au anadhani kuwa Serikali haiwezi kumpata kwa kuwa amejificha Nje ya Nchi?? Nina mashaka kama kweli huyu ni Mzalendo wa Nchi hii au anatumiwa na watu fulani kwa maslahi yao. Jamani Rais wa Nchi ni lazima apewe heshima yake maana tumemchagua wenyewe na anapodhalilishwa ni sawa na kudhalilisha Taifa pia. Vijana kumbukeni kuwa mdharau kwao ni mtumwa na tujifunze kuheshimu Viongozi wetu.
Mmmhhh! Mkuu naona unataka Malaika waishukie JF!jamani tuwekeeni hapa tujionee alivyoporomoka huyu jamaa
Kwa hiyo kumbe umetumwa na Lowassa ili kulipiza kisasi kwa yeye kuambiwa kajinyea? Halafu wewe unakemea kama nani hasa? Kwa nini kama mwanaume kweli na usiyeogopa Mamlaka usije kutukania huku Tanzania badala yake umejificha huko ughaibuni unabweka kama kijibwa!! Halafu unajisifia kwa ushamba wa hali ya juu eti nawinda swala mara oh mkandarasi wa umeme wa hali ya juu wakati English yenyewe unachapia tu! Poor you! Hao uliowataja wana faida gani kwangu na kwa Tanzania? Endelea kutumika huko ughaibuni ukijidai ni shujaa uliyejificha chumbani!!Mimi wa Kukaa kwa Dada? Mimi Nawinda Swala na Kupiga Story na Akina Jeff Sessions, na Lindsey Graham niwe Mtu wa kukaa kwa Dada! What a Joke! Wewe Ni Mwongo na hujui Lolote juu yangu! Na Nilishasema Bila aibu kuwa, Nilimia Lugha isiyokubalika, Ingawa Naikubali na Kuilelewa Mwenyewe, Nikawataka Wadau wote Radhi na Akiwepo Rais Mwenyewe. Lakini Nikasema Kimsingi Madai yangu yapo Pale, Mtu 1) Akileta hila na hujuma na uhuni katika siasa 2) Mtu akiwa Mwonevu na Mwenye double stadard 3)Mtu akitaka Kuingilia uhuru wa Mahakama 4) Mtu akiingilia Bunge 5) Mtu akitumia Polisi Kisiasa Kukomoa na Kutesa Watu 6) Mtu akiwa Mkatili kuharibu maisha ya Watu Kama ilivyotokea Ubungo!Mtu huyo hata akiwa Baba yangu Nitampinga Kwa Maneno Mazito sana!
Kuhusu wewe Mleta Mada, Mimi Ni Mkondorasi wa Umeme Mwenye Uzoefu wa Miaka 13 na Utaalamu wa Hali ya Juu! Mimi sio wa Kukaa kwa Dada! By the way, Ninyi si Ndio Mliokuwa Majukwaani akiwepo Magufuli Mkipigia Makofi waliosema Lowassa Kajinyea? Ulikuwa wapi hukukemea?
Naomba nijaribu kusaidia kukupunguzia hasira kuhusu clip hii inayotembea mtandaoni.Yupo jamaa mmoja hapa JF ambaye kwa muda mrefu amekuwa akikosoa Serikali akiwa mafichoni huko Marekani kwa jina la T.L.Marandu. Juzi amesikika kwenye You tube akimtukana na kumkashifu Rais wa Nchi yetu bila aibu wala adabu. Katika kauli zake alionesha kujaa chuki na kutoa tuhuma nyingi moja kwa moja kwa Rais kama mtu na siyo Taasisi.
Kumbe huyu jamaa anatukana akiwa Marekani amejificha kwa dada yake aliyeolewa huko! Ni aibu na upumbavu wa hali ya juu kumkashifu Rais kwa kile kilichodaiwa kufuta Ardhi ya Bwana fulani mroho aliyemiliki sehemu kubwa ya ardhi bila kuendeleza huku wananchi wa kawaida wakiteseka. Huyu mtu pia anatoa tuhuma ambazo hana uhakika nazo kwa kuihusisha Serikali na mauaji ya kijana mmoja wa CHADEMA (kama kweli anao ushahidi).
Alisikika akimlaumu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa kwa kile alichodai ulegevu na kutomchukulia hatua Rais. Haieleweki kama T.L.Marandu ndio hatokanyaga tena Tanzania au anadhani kuwa Serikali haiwezi kumpata kwa kuwa amejificha Nje ya Nchi?? Nina mashaka kama kweli huyu ni Mzalendo wa Nchi hii au anatumiwa na watu fulani kwa maslahi yao. Jamani Rais wa Nchi ni lazima apewe heshima yake maana tumemchagua wenyewe na anapodhalilishwa ni sawa na kudhalilisha Taifa pia. Vijana kumbukeni kuwa mdharau kwao ni mtumwa na tujifunze kuheshimu Viongozi wetu.
Nyerere Alikuwa Mwanamme au La? Kwanini Miaka ya 65-80 Asingeenda Johannesburg kufanya Press conference ya Kupinga Utawala wa Makaburu? Mimi sijatumwa na Lowassa Je wewe Umetumwa na Bashite au Magufuli? Nachapia English sio? Bado Nakazana Nipate PHD pengine nitaweza kama hivi!Kwa hiyo kumbe umetumwa na Lowassa ili kulipiza kisasi kwa yeye kuambiwa kajinyea? Halafu wewe unakemea kama nani hasa? Kwa nini kama mwanaume kweli na usiyeogopa Mamlaka usije kutukania huku Tanzania badala yake umejificha huko ughaibuni unabweka kama kijibwa!! Halafu unajisifia kwa ushamba wa hali ya juu eti nawinda swala mara oh mkandarasi wa umeme wa hali ya juu wakati English yenyewe unachapia tu! Poor you! Hao uliowataja wana faida gani kwangu na kwa Tanzania? Endelea kutumika huko ughaibuni ukijidai ni shujaa uliyejificha chumbani!!
Let me guess! Mange minus nge plus gu! Right?Kwa hizi comments watz wamemchoka mtu flani