UPDP !!!!! Hivi hiki chama kipo?
Sishangai kwa yale yanayoripotiwa kusemwa na kiongozi wa chama hicho.
Kila hali huzaa vitu vyake. Haya ni mazao ya hali ilivyo sasa. Wanautumia udhaifu wa CCM ili kujiweka karibu ya CCM ili wapate makombo yanayobakia. Wanajipendekeza ili waonekane wanaijali sana nchi na kuibebesha CHADEMA mzigo wa uvunjifu wa amani!
UPDP, ni amani gani wakati vijana wetu hawana kazi, ni amani gani wakati watoto wetu hawana madawati shuleni, amani gani hiyo wakati dispensari hazina dawa? na mengineyo. "FAINT HEARTS NEVER WIN DECISIVE BATTLES" the late Malcolm X.
Sishangai kwa yale yanayoripotiwa kusemwa na kiongozi wa chama hicho.
Kila hali huzaa vitu vyake. Haya ni mazao ya hali ilivyo sasa. Wanautumia udhaifu wa CCM ili kujiweka karibu ya CCM ili wapate makombo yanayobakia. Wanajipendekeza ili waonekane wanaijali sana nchi na kuibebesha CHADEMA mzigo wa uvunjifu wa amani!
UPDP, ni amani gani wakati vijana wetu hawana kazi, ni amani gani wakati watoto wetu hawana madawati shuleni, amani gani hiyo wakati dispensari hazina dawa? na mengineyo. "FAINT HEARTS NEVER WIN DECISIVE BATTLES" the late Malcolm X.