SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 350
- 792
Habarini za wakati huu wandugu. Naomba niende kwenye mada kama jinsi kichwa kinavyosomeka.
Binafsi nimewahi kuwa na mahusiano na wanawake wengi tofauti tofauti na binadamu tuna mapungufu yetu lakini wakati mwingine mapungufu yetu haya yanaweza kuwa unbearable kwa mwingine.
Nilikutana na huyu dada nikiwa mkoani na nilimtongoza na mishe boom ikatiki, ni msichana mzuri tu sio haba. Sasa kuna siku tumekutana then tuka sex, aisee wakati namshusha chupi yake hata sijamaliza bado nilikutana na harufu mbaya moja kali sana.
Niliduwaa kwa sekunde kadhaa nisijue nimwambie au nivunge, lakini nina hakika hata yeye alikuwa anaisikia. Basi bwana kidume nikajikaza nikachomeka nikaendelea na shughuli nikijifariji maybe hakuwa anajua tunge sex, lakini bado sikuona kama ni sababu ya maana ku justfy hilo.
Maana yake mtu huwi msafi sababu unaenda sex tu. Next time mambo yakawa vilevile, tena nakumbuka wakati tunachat hiyo siku alisema anaoga then anakuja lakini bado harufu Iko pale pale. Sikudumu naye sana tulikuta tuna ji distance kidogo baadae ndiyo kimoja.
Hebu tuambie, wewe ulimfichia aibu gani mpenzi wako? Lakini pia tuambie uliikabili vipi hiyo aibu, huenda ulllitumia approach nzuri ikamsaidia na mwingine hapa?
Binafsi nimewahi kuwa na mahusiano na wanawake wengi tofauti tofauti na binadamu tuna mapungufu yetu lakini wakati mwingine mapungufu yetu haya yanaweza kuwa unbearable kwa mwingine.
Nilikutana na huyu dada nikiwa mkoani na nilimtongoza na mishe boom ikatiki, ni msichana mzuri tu sio haba. Sasa kuna siku tumekutana then tuka sex, aisee wakati namshusha chupi yake hata sijamaliza bado nilikutana na harufu mbaya moja kali sana.
Niliduwaa kwa sekunde kadhaa nisijue nimwambie au nivunge, lakini nina hakika hata yeye alikuwa anaisikia. Basi bwana kidume nikajikaza nikachomeka nikaendelea na shughuli nikijifariji maybe hakuwa anajua tunge sex, lakini bado sikuona kama ni sababu ya maana ku justfy hilo.
Maana yake mtu huwi msafi sababu unaenda sex tu. Next time mambo yakawa vilevile, tena nakumbuka wakati tunachat hiyo siku alisema anaoga then anakuja lakini bado harufu Iko pale pale. Sikudumu naye sana tulikuta tuna ji distance kidogo baadae ndiyo kimoja.
Hebu tuambie, wewe ulimfichia aibu gani mpenzi wako? Lakini pia tuambie uliikabili vipi hiyo aibu, huenda ulllitumia approach nzuri ikamsaidia na mwingine hapa?