johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,772
- 141,633
Ukiondoa kipindi ambacho Zitto Kabwe alitaka kugombea uenyekiti wa Chadema taifa Freeman Mbowe hajawahi kupambanishwa na mtu yoyote ansyejulikana ndani ya chama.
Zitto Kabwe alifanyiwa zengwe.
Sumaye akafanyiwa zengwe akatafutwa mrundi kutoka Kigoma eti ndio apambane na Mbowe.
Ni heri CCM wanaompigia kura mgombea mmoja halafu anapata 100% ya kura zote ili kudumisha mshikamano.
Maendeleo hayana vyama!
Zitto Kabwe alifanyiwa zengwe.
Sumaye akafanyiwa zengwe akatafutwa mrundi kutoka Kigoma eti ndio apambane na Mbowe.
Ni heri CCM wanaompigia kura mgombea mmoja halafu anapata 100% ya kura zote ili kudumisha mshikamano.
Maendeleo hayana vyama!