Wa Mjengoni
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 480
- 128
Kwa siku kadhaa sasa ukifungua tu computer yako kwenye JF unakumbana na picha inayofanana kabisa na mtangazaji wa ITV/radio one Abdallah Mwaipaya, Mzee Mandela akiwa kijana anafanana na huyu Bwana kwa maoni yangu.
Kweli si kweli?
Kweli si kweli?