Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetolea ufafanuzi malalamiko ya wadau wake mkoani Mwanza.
Watoa huduma wamekumbushwa kuzingatia miongozo na mkataba kati yao na mfuko. Kikao kitaitishwa ili kulipatia ufumbuzi suala hili.
Kwa hili, huu ndo uwajibikaji kwa vitendo. Hongera NHIF kwa kutoshupaza shingo.
Majibu haya yamekuja kufuatia kuibuka kwa mjadala huu > NHIF matatani, kilio cha wamiliki wa hospitali binafsi kukatwa mabilioni ya fedha chaibuka
Watoa huduma wamekumbushwa kuzingatia miongozo na mkataba kati yao na mfuko. Kikao kitaitishwa ili kulipatia ufumbuzi suala hili.
Kwa hili, huu ndo uwajibikaji kwa vitendo. Hongera NHIF kwa kutoshupaza shingo.
Majibu haya yamekuja kufuatia kuibuka kwa mjadala huu > NHIF matatani, kilio cha wamiliki wa hospitali binafsi kukatwa mabilioni ya fedha chaibuka