Wakina mama Wajawazito ni kundi maalum ambalo linapaswa kuangaliwa vyema ndio maana serikali inatoa huduma bure kwa wamama wajawazito.
Lakini jambo la kushangaza NHIF hawajali kabisa inapotokea mama mjamzito kaandikiwa dawa muhimu ya kuongeza damu kwa mama mjamzito NHIF wanakataa na kusema hiyo dawa haipo katika bima, hakika hii ni hatari sana kwa mama zetu.
Muongozo uliowekwa na NHIF hauwajali wala kuwazingatia kundi la maalum la wamama wajawazito ambalo ni kutokana na hali zao ni rahisi kupoteza uhai wao.
NHIF kuweni ni utu kwa wajawazito tu, utaratibu au muongozo mlioutoa unawanyanyasa wajawazito badilisheni huo muongozo/utaratibu haraka ili wajawazito wapate huduma zinazo stahili bila kikwazo, haswa katika hospitali za binafsi kuna shida.
NHIF zingatieni wajawazito ondoeni vikwazo mtaangamiza maisha ya mama zetu.
Lakini jambo la kushangaza NHIF hawajali kabisa inapotokea mama mjamzito kaandikiwa dawa muhimu ya kuongeza damu kwa mama mjamzito NHIF wanakataa na kusema hiyo dawa haipo katika bima, hakika hii ni hatari sana kwa mama zetu.
Muongozo uliowekwa na NHIF hauwajali wala kuwazingatia kundi la maalum la wamama wajawazito ambalo ni kutokana na hali zao ni rahisi kupoteza uhai wao.
NHIF kuweni ni utu kwa wajawazito tu, utaratibu au muongozo mlioutoa unawanyanyasa wajawazito badilisheni huo muongozo/utaratibu haraka ili wajawazito wapate huduma zinazo stahili bila kikwazo, haswa katika hospitali za binafsi kuna shida.
NHIF zingatieni wajawazito ondoeni vikwazo mtaangamiza maisha ya mama zetu.