Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,926
Kama ni kwel, basi ni hatar sana.Ingawa Bima inasaidia sana .
Wajaribu kuweka utaratibu wa kuya take care na haya masuala kwa maslah ya Watanzania.
Nashauri badala ya kusema magonjwa hayo bima haita cover wafanye hivi, ukiugua hayo magonjwa, bima iwe na % yake ya kugharamia na mgonjwa atakiwe ku top up some % remaining.
Lakin kuacha the whole Lot kwa mgonjwa ambaye anakatwa pesa zake monthly, is not fair. Tufanye kushare hizo cost basi maana wafanyakazi wanakatwa pesa zao nyingi.
Wajaribu kuweka utaratibu wa kuya take care na haya masuala kwa maslah ya Watanzania.
Nashauri badala ya kusema magonjwa hayo bima haita cover wafanye hivi, ukiugua hayo magonjwa, bima iwe na % yake ya kugharamia na mgonjwa atakiwe ku top up some % remaining.
Lakin kuacha the whole Lot kwa mgonjwa ambaye anakatwa pesa zake monthly, is not fair. Tufanye kushare hizo cost basi maana wafanyakazi wanakatwa pesa zao nyingi.