Kuna urasimu mkubwa pindi mtu (individual) unapotaka kujiunga na huduma za mfuko wa bima ya afya.
Wao siku zote husisitiza watu wajiunge kwa bei nafuu yaani chini ya laki moja, lakini ukisema ufuatilie serious ukifika ofisi zao Kurasini utarudi mbio baada ya kutajiwa gharama kubwa hata milioni mbili.
Wao watakushauri muende kama kikundi
hivi watu wa NHIF mkiamua tujiunge na mfuko wenu na tukalipia hiyo elfu 80 ya mwaka kama tunavyolipia bima za magari kutakua na tatizo gani?
Tunaomba mturahisishie ili wengi tujiunge na nyie mpate wateja na faida kubwa kulikoni hali ilivyo sasa ambapo wengi wanashindwa kutokana na gharama kubwa.
Hongereni kwa kufanikisha afya Toto card sasa rahisisheni na kwetu watu wazima.
Nawakilisha.
Wao siku zote husisitiza watu wajiunge kwa bei nafuu yaani chini ya laki moja, lakini ukisema ufuatilie serious ukifika ofisi zao Kurasini utarudi mbio baada ya kutajiwa gharama kubwa hata milioni mbili.
Wao watakushauri muende kama kikundi
hivi watu wa NHIF mkiamua tujiunge na mfuko wenu na tukalipia hiyo elfu 80 ya mwaka kama tunavyolipia bima za magari kutakua na tatizo gani?
Tunaomba mturahisishie ili wengi tujiunge na nyie mpate wateja na faida kubwa kulikoni hali ilivyo sasa ambapo wengi wanashindwa kutokana na gharama kubwa.
Hongereni kwa kufanikisha afya Toto card sasa rahisisheni na kwetu watu wazima.
Nawakilisha.