mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,507
- 2,832
Jana baada ya futari nilikuwa najisikia vibaya joto lilipanda ghafla na baridi Kali likawa linaniandama
Asubuhi leo nimeamkia hospitali fulani hivi huku maeneo ya Temeke Dr. kaniambia miongoni mwa vipimo atakavyonipima ni pamoja na Dengue
Sasa kimbembe Dr akasema bima haiwez kulipa hivyo niingie mfukoni, kipimo chenyewe gharama 40,000/-
Kuna haja gani ya kuwa na bima kama haiwez kulipa kipimo?? Mm niliamua kulipa japokuwa Kwa shingo upande Ila Vipi wazee wetu huko kijijini tulilowakatia bima??
Hii ni bima ya serikali lakn inaongoza Kwa ubabaishaji, halafu Kwa sisi watumishi wanatuambia kujiunga no lazima, si Bora iwe huru ishindane tuamue wenyewe pa kwenda??
Hivi waziri na wahusika wa afya wanalitambua hili?? Au Sisi wananchi tumekuwa wapole Sana kiasi kwamba wanatupeleka wawezavyo?? Tupaze sauti dhidi ya huu udhalimu,
Asubuhi leo nimeamkia hospitali fulani hivi huku maeneo ya Temeke Dr. kaniambia miongoni mwa vipimo atakavyonipima ni pamoja na Dengue
Sasa kimbembe Dr akasema bima haiwez kulipa hivyo niingie mfukoni, kipimo chenyewe gharama 40,000/-
Kuna haja gani ya kuwa na bima kama haiwez kulipa kipimo?? Mm niliamua kulipa japokuwa Kwa shingo upande Ila Vipi wazee wetu huko kijijini tulilowakatia bima??
Hii ni bima ya serikali lakn inaongoza Kwa ubabaishaji, halafu Kwa sisi watumishi wanatuambia kujiunga no lazima, si Bora iwe huru ishindane tuamue wenyewe pa kwenda??
Hivi waziri na wahusika wa afya wanalitambua hili?? Au Sisi wananchi tumekuwa wapole Sana kiasi kwamba wanatupeleka wawezavyo?? Tupaze sauti dhidi ya huu udhalimu,