ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
- Thread starter
- #61
Wanachofanya si sawa badala ya kujikita kwenye huduma kusaidia watu wao wanalenga ki biasharaHili hata mimi limenitokea nilichelewa ku renew kadi ya mtoto wameniambia mpaka mienzi mitatu ndio itafanya kazi tena
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi ninalipia watoto wawili nalipa laki moja hunipi huduma ati hadi siku 90 pesa wanachukua hii sio kabisa