hata ukikata bima ya NHIF.. halafu mbeleni ukaumwa moyo, figo au kansa.. hawakutibu kabisa...
bima inatibu magonjwa ya bei rahis, magonjwa ya bei juu wanayakimbia
Kwani we walipa sh ngapi hadi utibiwe hayo magonjwa? Kwani lazima uugue hayo magonjwa?
Kula vizuri uone kama utaupata
hata ukikata bima ya NHIF.. halafu mbeleni ukaumwa moyo, figo au kansa.. hawakutibu kabisa...
bima inatibu magonjwa ya bei rahis, magonjwa ya bei juu wanayakimbia
Kuna Jambo kimefichwa na kupitisha kwenye mlango wa bima ya afya! Nchi Haina fedha za kugharamia uchaguzi mkuu mwakani hivyo wanazitafuta kwa namna yoyote! Ona magawio feki Yale ya juzi dodoma ambayo malengo yamefikiwa kwa 30% tu! Nchi wafadhili na marafiki wamegoma kutoa misaada yao kwa sababu ya ukandamizaji wa demokrasia na mengine! Tutashuhudia mengi.
Si kweli Mkuu,kuna rafiki yangu alifanyia operation ya moyo kwa kufungua kifua kwani baadhi ya mishipa ya moyo ilikuwa imeziba gharama zake zilikuwa M 15,aliombwa kuchangia million tank kiasi kingine bima ili take cover,
Hata wakikutukana bado nitakuita mkweli.Kuna Jambo kimefichwa na kupitisha kwenye mlango wa bima ya afya! Nchi Haina fedha za kugharamia uchaguzi mkuu mwakani hivyo wanazitafuta kwa namna yoyote! Ona magawio feki Yale ya juzi dodoma ambayo malengo yamefikiwa kwa 30% tu! Nchi wafadhili na marafiki wamegoma kutoa misaada yao kwa sababu ya ukandamizaji wa demokrasia na mengine! Tutashuhudia mengi.
Wewe unalo linalosema kinyume na hili? Undhani yanayoandikwa hapa ni ya kubuni siyo? Kwa taarifa yako habari hizi ni za jikoni na Mimi ni muosha vyombo hapa jikoni! Endelea kuusaka ukweli unaoutaka wewe ili ulipinge bandiko langu.Acha kupotosha Mkuu,una chanzo chochote kinachoeleza haya uliyoyaandika
zamani ilikuwa inacover.. ila package mpya zote zimeacha ku cover... nenda kasome terms and conditions vizuri..
Kwani we walipa sh ngapi hadi utibiwe hayo magonjwa? Kwani lazima uugue hayo magonjwa?
Kula vizuri uone kama utaupata
Ndugu uckufuru Mungu plz hujafa hujaumbika