Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,528
- 33,948
Inaumiza sana mtu unakatwa hela yako lakini Hawa watu wa Bima ya Afya hawakujali wala nini.
Ni wiki ya 3 sasa na siku kadhaa nakaribia kumaliza mwezi nahangaikia bima ya afya mwanzo walinitumia sms nikachukuwe bima nafika nakuta jina na langu lakini picha iliyopo kwenye bima siyo yangu, wakaniahid wataishughulikia ndan ya masaa 24 niende kesho yake lakin matokeo yake ni zaid ya wiki ya pili Sasa, napoteza muda napoteza na pesa, ukiwapigia simu ofisin kwao majibu yao ni ya hovyo na kufokewa juu.
Wenye mamlaka husika wapeni semina hao wafanyakazi wenu, wasijidai wamevurugwa na maisha wakat sisi wengine tayari tumevurugwa zaidi yao ila tunatumia busara.
Ni wiki ya 3 sasa na siku kadhaa nakaribia kumaliza mwezi nahangaikia bima ya afya mwanzo walinitumia sms nikachukuwe bima nafika nakuta jina na langu lakini picha iliyopo kwenye bima siyo yangu, wakaniahid wataishughulikia ndan ya masaa 24 niende kesho yake lakin matokeo yake ni zaid ya wiki ya pili Sasa, napoteza muda napoteza na pesa, ukiwapigia simu ofisin kwao majibu yao ni ya hovyo na kufokewa juu.
Wenye mamlaka husika wapeni semina hao wafanyakazi wenu, wasijidai wamevurugwa na maisha wakat sisi wengine tayari tumevurugwa zaidi yao ila tunatumia busara.