Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Where is the outrage?
picha iko hapa:
http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/zahanati-ya-hekima-matatani.html#comments
picha iko hapa:
http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/zahanati-ya-hekima-matatani.html#comments
Baadhi ya vifaa vya Zahanati ya Hekima iliyopo katika mtaa wa Makunganya, Dar es Salaam, leo vikiwa nje baada ya Kampuni ya Udalali ya Fosters kuvitoa nje kutokana na deni la zaidi ya shilingi milioni 40 wanazodaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa. Kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Joshua Mwaituka.