MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
nimekuwa mfuatiliaji wa habari katika TV station mbalimbali hapa nchini. Kuna habari muhimu inakosa coverage katika magazeti nimeona leo metoka kwenye gazeti la NIPASHE . Ni kuhusu hili sakata la ofisi za serikali kufukuzwa kwenye nyumba na NHC. Juzi walikuwa Wizara ya KCU na Vijana na Michezo leo sijui watakuwa Lithui Upanga au vipi!
Swali: Je tuwapongeze hawa watu wanaoendesha operesheni hii kwa maana mama Tibaijuka na NHC!
Je Nguvu hii pia ipo kwa wahindi waliojazana kwenye majumba mbalimbali ya NHC Tz nzima?
Je utendaji huu unapaswa kuigwa na wizara nyingine?
Swali: Je tuwapongeze hawa watu wanaoendesha operesheni hii kwa maana mama Tibaijuka na NHC!
Je Nguvu hii pia ipo kwa wahindi waliojazana kwenye majumba mbalimbali ya NHC Tz nzima?
Je utendaji huu unapaswa kuigwa na wizara nyingine?