eyamango
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 463
- 372
Mawazo ya kimaskini na mtu asiyeelimika,kumbe huwa wanateuliwa kufanya Kazi kwa nafasi walizoteuliwa au kwenda kula pesa tu?Hebu tuelimishe hii scenario unayoizungumzia ili tuelewe.Lazima tubadilishane vijiti,
mda wa Nehemia kula umepita,
apishe na wengine wale sasa