Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Kada huyo maarufu na kiongozi(siyo jina halisi) wa CHADEMA jijini Mwanza amekuwa akishindwa kudhibiti hisia zake na kuangua kilio kila anapofuatwa na watu wanaomufahamu wakitaka maoni yake juu ya kujeruhiwa kwa mapanga, wabunge wa CHADEMA:Highnes Kiwia-Ilemela na Salvatory Machemuli-Ukerewe.
Kada huyo alishirikiana na viongozi hao kwa kila hali...Mwanzo mwisho...kuhakikisha kata ya Kirumba jijini Mwanza inaendelea kuwa chini ya diwani wa CHADEMA.
...Pole sana Kamanda...
Source...Maswahiba wake wakaribu.. sana
Kada huyo alishirikiana na viongozi hao kwa kila hali...Mwanzo mwisho...kuhakikisha kata ya Kirumba jijini Mwanza inaendelea kuwa chini ya diwani wa CHADEMA.
...Pole sana Kamanda...
Source...Maswahiba wake wakaribu.. sana