ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,650
Ninawaza kwanini tanesco wasingeanza kutumia nguzo mpya za zege katika maeneo yote yaliyo kwenye mpango wa rea kuliko kuingia hizi gharama Mara mbili za nguzo.maeneo ya mijini wangefanya kubadilisha kwa zile nguzo ambazo zimechoka.Ni maamuzi ya kibadhirifu kuandoa hizi ambazo bado ni imara.