Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
With (By) Tanzanians!
Check your grammar
With (By) Tanzanians!
tumpeni jamani ajaribu tena kwani tunajifunza kutokana na makosa azu hamjuiwajameni????
maisha bora hayaji kwa miaka mitano tumpe nafasi atekeleze ahadi yake hiyo tukufu.
WATU WALIKUWA WENGI JANGWANI KIASI ILIKUWA TABU KUONA ........huduma nazo hazikuwa haba.....ambulances....mobile toilets....na wanahabari wa kutosha kutoka vyombo kama TANZANIA DAIMA ,RAI NA MWANAHALISI VILIPAMBA MKUTANO HUO...!